Herunterladen Inhalt Inhalt Diese Seite drucken

Briggs & Stratton BPW4000 Bedienungsanleitung Seite 207

Inhaltsverzeichnis

Werbung

Verfügbare Sprachen
  • DE

Verfügbare Sprachen

  • DEUTSCH, seite 44
ONYO! Mnyunyizo unaweza kukurukia au kuzungusha
vitu na hivyo basi kusababisha majeraha mabaya. Siku
zote valia miwani ya usalama inayopitisha hewa kwa njia fulani ( mruko wa
kikemikali) iliyowekwa alama ili kukubaliana na EN166 wakati unapotumia
au unapokuwa karibu na mtambo huu. Siku zote valia mavazi ya ukukinga
kama vile shati lenye mikono-mirefu, suruali ndefu na viatu vinavyofunika
vidole vyako vya miguu.
4. Wakati unapowasha injini, shikilia kishikio husika na ukivute
polepole mpaka pale ambapo utakapohisi upinzani fulani.
Kisha vuta kwa haraka ili kuwasha injini.
ONYO! Kamba ya kuvuta kwa haraka ili kuwasha (uvutaji
wa haraka) itaweza kuuvuta mkono na sehemu yake
kuelekea kwenye injini kwa haraka zaidi kuliko vile unavyoweza
kuachilia na kuweza kusababisha mifupa iliyovunjika, iliyoachana,
majeraha, au kushtuka kwa viungo vya mwili na kusababisha
majeraha mabaya. USIWAHI kuivuta kamba ya kuwasha mtambo
bila ya kuanza kuwachilia presha ya sehemu ya mbele ya mnyunyizo
iliyo na presha. Wakati unapowasha injini, vuta kamba polepole
mpaka pale ambapo utaweza kuhisi upinzani na kisha uvute kwa
haraka ili kuepuka kukataa kuwashwa kwa mtambo. Shikilia kwa
nguvu sehemu ile ya mbele ya mnyunyizo kwa mikono yote miwili
wakati unapotumia mnyunyizo wa presha ya juu ili kuepuka jeraha
wakati ambapo sehemu ya mbele ya mnyunyizo itakaporuka nyuma.
5. Rudisha kishikio husika polepole. USIACHE kamba "kurudi
nyuma" dhidi ya kiwashi.
6. Baada ya kila jaribio la kuwasha, pale ambapo injini
itashindwa kuendeshwa, elekeza sehemu ya mbele katika
sehemu salama, bonyeza kitufe chekundu na ufinyikize triga
ili kuwachilia presha ya juu.
7. Wakati injini itawashwa, songesha polepole leva ya kusakama hadi
katika mkao wa (
) KUENDESHA, wakati injini inapopata moto.
Kama injini itafifia, songesha leva ya kusakama hadi katika mkao
wa (
) KUSAKAMA kisha kwenye mkao wa (
ILANI
Siku zote hakikisha leva ya throto iko kwenye mkao wa
(
) HARAKA wakati unapoendesha kioshaji kwa presha.
ONYO! Mtiririko wa maji ulio na presha ya juu ambao
unatolewa na mtambo huu unaweza kupenyeza kupitia
kwenye ngozi na tishu zilizo chini yake na hivyo basi kusababisha
jeraha mbaya na hata uwezekano wa kukatwa mkono. Kama
utakatwa na maji haya, mpigie simu daktari mara moja.
USICHUKULIE kama kukatwa kwa kawaida. USIWARUHUSU
WATOTO kucheza na au kuitumia kioshaji kinachutumia
shinikizo.USIWAHI kuelekeza sehemu ya mbele ya mnyunyizo
kwa watu, wanyama au mimea. USIWACHE sehemu hii ya mbele
ya mnyunyizo katika mkao ulio wazi. USIWACHE sehemu hii ya
mbele ya mnyunyizo bila kushughulikiwa wakati mashine
yanaendeshwa. USIWAHI kutumia sehemu hii ya mbele ya
mnyunyizo isiyokuwa na uwezo wa kufunga triga au kulinda triga
katika hali ya kufanya kazi. USIWAHI kuunganisha mpira wa maji
wa presha ya juu kwenye kirefusho cha pua ya mtambo huu.
ONYO! Kutagusana na eneo hili la mafla kunaweza
kusababisha kuungua na hivyo basi kusababisha
majeraha mabaya. USIGUZE sehemu moto na EPUKA gesi moto
zinazotolewa. Ruhusu mitambo kupoa kabla ya kuigusa.
ONYO! Mtagusano na chanzo cha nguvu za umeme
kunaweza kusababisha mshtuko wa kielektriki au kuungua
kunakoweza kusababisha kifo au jeraha mbaya. USIWAHI
kunyunyiza karibu na chanzo cha umeme.
Ncha za Mnyunyizo Mchoro
Ncha za mnyunyizo zinaweza kubadilishwa wakati kioshaji
wa presha kinaendeshwa pindi tu triga ya sehemu ya mbele ya
mnyunyizo inapofungwa.
Ili Kubadilisha Ncha za Mnyunyizo:
1. Rudisha nyuma sehemu ya pembeni iliyo kwenye
mwunganisho-chapu na uvute ncha ya sasa ya mnyunyizo
hadi kuzima. Hifadhi ncha za mnyunyizo kwenye mashimo
yaliyowekwa kwenye trei ya nyongeza.
Vidokezo vya Matumizi
Matumizi ya Sabuni
presha. Tumia TU kioshaji kwa presha na sabuni/vioshaji salama.
Fuata maelekezo ya utengenezaji.
ILANI
) KUENDESHA.
zilizo na presha ya juu (Nyeupe, Njano, Nyekundu).
ILANI
matumizi kwa kuweka neva kwenye ndoo ya maji safi, kisha
kuwasha kioshaji kwa presha kwa kutumia ncha nyeusi ya
mnyunyizo kwa dakika 1-2.
Kusuuza kwa kutumia Kioshaji kwa Presha
Mchoro
kusababisha kifo au majeraha mabaya. Tumia kioshaji kwa presha
kutoka kwenye sehemu dhabiti. Kuwa makini sana kama lazima
utumie kioshaji kwa presha kutoka kwenye ngazi, viunzi, au mahali
popote pengine kama hapo. Shikilia kwa nguvu sehemu ile ya mbele
ya mnyunyizo kwa mikono yote miwili wakati unapotumia mnyunyizo
wa presha ya juu ili kuepuka jeraha wakati ambapo sehemu ya
mbele ya mnyunyizo itakaporuka nyuma.
9
2. Teua ncha pendelewa ya mnyunyizo:
kwa kusuuza kwa makini, teua ncha ya minyunyizo
nyeupe ya 40 (A) au ya kijani (B) ya 25°.
Kwa kusuuza kwa jumla, teua ncha ya mnyunyizo (C) ya
njano ya 15°.
Kwa kusuuza kwa kiwango cha juu zaidi, teua ncha ya
mnyunyizo (D) nyekundu ya 0°
Ili kutumia sabuni, teua ncha ya mnyunyizo (E) nyeusi ya
sabuni.
3. Vuta nyuma sehemu ya pembeni, chomeka ncha mpya ya
mnyunyizo na uwachilie sehemu hiyo ya pembeni. Weka
vyema ncha ya mnyunyizo na uhakikishe kwamba iko salama.
• Kwa usafishaji kamilifu, hakikisha kwamba ncha ya
mnyunyizo iko umbali wa sentimita 20 hadi sentimita 61
(nchi 8 hadi 24) mbali na sehemu ya usafishaji.
• Ukisongeza ncha ya mnyunyizo karibu sana, haswa kwa
kutumia ncha ya mnyunyizo ya presha ya juu unaweza
kuharibu sehemu inayosafishwa.
• USISONGEE karibu sana umbali ulio karibu zaidi sentimita
15 (nchi 6) wakati unaposafisha magurudumu.
ONYO! Kemikali zinaweza kusababisha kuungua
kunakosababisha kifo au majeraha mabaya. USITUMIE
kiolevu kinachotokana na magadi soda katika kioshaji cha
1. Weka neva ya kuvuta sabuni kwenye mkebe ule wa sabuni.
2. Weka ncha ya nyeusi ya mnyunyizo wa sabuni.
Sabuni haiwezi kutumiwa kwenye ncha za mnyunyizo
3. Tumia sabuni katika sakafu kavu, ukianzia katika sehemu ya
chini zaidi inayofaa kuoshwa, kwa kutumia miguso mirefu,
pamoja na ile ya kujirudia.
4. Ruhusu sabuni kuweza "kuroweka" kulingana na maelekezo
ya utengenezaji wa sabuni kabla ya kuosha na kusuuza.
Piga maji mfumo wa kuvuta sabuni baada ya kila
4
1. Ondoa ncha nyeusi ya mnyunyizo wa sabuni kutoka kwenye
kirefusho cha pua.
2. Teua na uweke ncha ya presha ya juu ya mnyunyizo.
ONYO! Kule kurudi nyuma kwa sehemu ya mbele ya
mnyunyizo (43 N) kunaweza kufanya kuanguka na
3. Ongeza (punguza) presha ya mnyunyizo kwa kuzungusha
kishikio cha kudhibiti presha (H) kuanzia mkono wa kulia
hadi kushoto (tofauti na kuanzia kushoto hadi kulia).
Tumia presha ya chini zaidi kuviosha vitu kama vile gari
au mashua. Tumia presha ya juu zaidi kuondoa rangi na
kuondoa mafuta yasiofaa kwenye maegesho.
4. Tumia mnyunyizo wa presha ya juu katika eneo ndogo na
ukague sehemu hiyo endapo imeharibika. Kama haijaribika,
endelea kusuuza.
5. Anzia sehemu ya juu inayofaa kusuuzwa, ukija chini kwa
miguso ile ya kujirudia kama ulivyofanya wakati wa usafishaji.
7 7

Werbung

Inhaltsverzeichnis
loading

Inhaltsverzeichnis