Herunterladen Diese Seite drucken

Briggs & Stratton 020622-00 Bedienungsanleitung Seite 180

Werbung

Verfügbare Sprachen
  • DE

Verfügbare Sprachen

  • DEUTSCH, seite 38
5. Bonyeza kitufe cha WEKA UPYA (7,C). Taa ya indiketa
(7,B) inafaa iwe IMEWASHWA.
ONYO! Hatari ya kupigwa na umeme. PRCD isiyofanya
kazi inaweza kusababisha kifo ama majeraha mabaya
mwilini. Ikiwa taa ya indiketa haibaki ikiwa IMEWAKA
baada ya jaribi na ukwejai upya, usitumie PRCD.
6. Bonyeza swichi kuu ya WASHA/ZIMA iwe katika nafasi
ya WASHA (I).
7. Elekeza mtutu upande salama, nonyeza kitufe cha
kufunga kifyatuzi na ufinye kifyatuzi.
Mota itawaka na kuzima wakati kifyatuzi cha kifyatuzi
kunyunyuza kinafinywa na kuwachiliwa.
Ncha ya Kunyunyiza
Ncha ya kunyunyi za tarbo huzungusha jeti ya maji yenye nguvu
ya ncha ya pini kwa usafishaji mzuri. Ncha nyeupe iliyoinama
ya kunyunyizia kwa upakaji jumla wa sabuni, na ncha ya gul ya
machungwa iliyoinama ya kunyunyizia kwa matumizi mbalimbali
ya presha ya juu.
Vidokezo vya Matumizi
• Kwa kuosha bora kabisa, weka ncha ya kufukiza
sentimita 20 hadi 61 (inchi 8 hadi 24) kutoka kwa
sehemu inayooshwa.
• Ukiweka ncha ya kufukiza karibu sana, hasa ukitumia
ncha ya kufukizo ilio na shinikizo la juu, unaweza
kuharibu sehemu inayosafishwa.
• USIWE karibu ya sentimita 15 (inchi 6) wakati unaosha
matairi.
Kupaka Sabuni
Mchoro
ONYO!
Kemikali zinaweza kusababisha kuungua
kunakosababisha kifo au majeraha mabaya.
USITUMIE kiolevu kinachotokana na magadi soda
katika kioshaji cha presha. Tumia TU kioshaji cha presha na
sabuni/vioshaji salama. Fuata maelekezo ya mtengenezaji.
Ili utumie sabuni, fuata hatua zifuatazo:
1. Ondoa kifuniko kutoka kwa tenki la sabuni (C) na
ulijaze maji ya sabuni. Badilisha kifuniko.
2. Funga ncha nyeupe ya kunyunyizia iliyoinama.
ILANI
Sabuni haiwezi kuwekwa na ncha ya ya
kunyunyiza ya tarbo au gul ya manjano.
3. Paka sabuni kwenye sehemu kavu, kuanzia sehemu
ya chini ya eneo hilo na uoshe kuelekea juu, kwa
makasia marefu yanayotoshana, na yanayopishana.
4. Ruhusu sabuni "kuloweka" vile watengenezaji wa
sabuni wameelekeza kabla ya kuosha na kusuuza.
Kusuuza ukitumia Kioshaji cha Presha
1. Ondoa ncha ya kinyunyizia cheupe iliyoinana kutoka
kwa kifimbo na ufunge ncha ya kunyunyizia ya gul ya
machungwa.
ONYO! Kule kurudi nyuma kwa sehemu ya mbele
ya mnyunyizo kunaweza kufanya kuanguka na
kusababisha kifo au majeraha mabaya. Tumia kioshaji
kwa presha kutoka kwenye sehemu dhabiti. Kuwa makini
sana kama ni lazima utumie mashine inayoosha kwa kutumia
shinikizo kutoka kwa juu ya ngazi, jukwaa, au maeneo kama
hayo. Shikilia kwa nguvu sehemu ile ya mbele ya mnyunyizo
kwa mikono yote miwili wakati unapotumia mnyunyizo wa
presha ya juu ili kuepuka jeraha wakati ambapo sehemu ya
mbele ya mnyunyizo itakaporuka nyuma.
6
4
2. Weka mfukizo wa shinikizo iliyo juu kwa eneo dogo
na uangalie kama kuna uharibifu. Kama haijaribika,
endelea kusuuza.
3. Anza kwa eneo la juu la kusuuzwa, ukielekea chini na
vifagio vinavyopitana jinsi ulifanya ukiosha.
Zima Kioshaji cha Presha
1. Achilia kifyatulio cha mtutu wa mfukizo.
2. Bonyeza swichi kuu ya WASHA/ZIMA (D) kwenye
nafasi ya ZIMA (0).
ILANI
Kuwachilia kifyatuzi kutazima mota lakini hakuzimi
nguvu ya umeme kwenye kifaa.
3. Zima maji.
4. DAIMA elekeza mtutu wa kufukiza katika mwelekeo
ambao ni salama, bonyeza kitufe cha kufunga kifyatuzi,
na ufinye kifyatuzi ili kuongeza presha katika kifaa.
ONYO! Mkondo wa maji ulio na shinikizo ya juu
ambayo kifaa hii inazalisha inaweza kukata ngozi na
nyama, hivo kusababisha majeraha makubwa na
kukatwa kwa kiungo cha mwili. Weka mpira wa shinikizo la juu
ikiwa imeunganishwa kwenye pampu na mtutu wa kunyunyizia
wakati mfumo una presha. USIKUBALI WATOTO kcuheza au
kutumia kioshaji cha shinikizo. WAKATI WOTE elekeza sehemu
ya mbele ya mnyunyizo katika upande salama, finya kifyatuzi
cha mtutu wa kunyunyizia ili uwachilie shinikizo la juu, kila
wakati unazima kioshaji cha presha.
5. Tenganisha plagi ya PRCD (G) kutoka kwa tundu la
kutokea maji na uzungushe waya ya nishati kwenye
kiopoo cha chini cha trei ya vifuasi.
6. Funga mpira wa shinikizo la juu kwenye kiopoo cha juu
cha trei ya vifuasi.
7. Weka mtutu wa kunyunyizia, kijifimbo cha plastiki na
ncha za kunyunyizia kwenye trei ya vifuasi.
Baada ya Kila Matumizi
Maji hayafai kubakia kwenye kifaa hicho kwa vipindi virefu
vya muda. Mchanga au madini yanaweza kusanyika juu ya
sehemu za pampu na "kuilemaza" pampu. Fuata taratibu hizi
baada ya kila matumizi:
1. Endesha kioshaji cha presha na ncha nyeupe ya
kunyunyizia iliyoinama hadi tangu liwe tupu.
2. Ongeza lita 0.5 za maji kwenye tangi la sabuni, na
uiendeshe na ncha nyeupe ya kunyunyizia iliyoinama.
Foka 1 kwa dakika mbili.
3. Bonyeza swichi kuu ya WASHA/ZIMA kwenye nafasi ya
ZIMA (0). Ondoa plagi ya waya ya nishati kutoka kwa
sehemu ya umeme.
4. Zima maji. Elekeza mtutu upande salama, bonyeza
kifyatuzi, funga kitufe, na ubonyeze kifyatuzi ili
uwachilie shinikizo lililokwama.
5. Tendanisha mpira wa bustani kutoka kwa kitundu cha
kuingiza maji. Tenganisha pira wa shinikizo la juu kutoka
kwa mtutu na kitundu cha kutoa shinikizo la juu.
6. Mwaga maji kutoka kwa mpira na mtutu wa
kunyunyizia, pangua sehemu zote za nje.
7. Dmwaga maji kutoka kwa pampu kwa kuinamisha
kifaa upande wa kulia (tundu la kuingiza maji
likiangalia chini) kwa dakika mbili. Gauza kifaa na
kilalie tundu la kutoa shinikizo la juu kwa dakika
zingine mbili.
Mchoro
4
BRIGGSandSTRATTON.COM

Werbung

loading

Diese Anleitung auch für:

020672-00